LATEST MOVIES

1000 Tsh
1000 Tsh
1000 Tsh
1000 Tsh
1000 Tsh
Msimu wa Sikukuu 2025

Furahia Burudani ya Sikukuu na JoeBoy Studio

Pata movies na series za kuvutia, ofa maalum za msimu, mabango za tukio, na huduma za utengenezaji wa maudhui — yote hapa Tabora. Tunakuletea burudani kwa njia mpya.

Piga Sasa — +255 613 442 214 Tuma Barua
WhatsApp: +255 613 442 214

A LONELY PLACE TO DIE

Story inahusu watu wa5 wapanda milima (climbers) , ambao walimkuta mtoto mmoja wa kike ktk msitu mmoja wa milimani kuashilia alikua ametekwa .

Waligundua kuna mtoto pale walipopumzika maeneo hayo kula na kunywa  , kabla ya kuendelea na safari yao ya milimani .
Walisikia sauti ya kuomba msaada iliyokua ikitoka kupitia bomba alilowekewa yule mtoto kupitishia hewa kutoka kule chini ya shimo .
Walichotaka ni kumuokoa na kumuondoa maeneo hayo haraka sana kabla ya waliomuweka kuwakuta , maana walijua lazima atakua ametekwa na kuwekwa hapo na watu wabaya .
Hapo network haipatikani kwa hiyo wakashauriana wengine waondoke na mtoto mpaka nyumba waliyofikia kusubiri msaada , huku wengine waende kutafuta msaada wa kupata police hata ktk vijiji vya karibu maana hawawezi kutembea na mtoto umbali mrefu .
Wakafanya hivyo na kutoweka hilo eneo haraka sana kabla hawajakutwa 
Waliomteka mtoto walimteka ili wapate pesa , na siku hiyo pesa ndo zilikua njiani kuja ili wabadilishane na mtoto .
Hapo ndipo walipouponza wale wapanda milima kumuokoa yule mtoto maana ile ni hela , na kama ni hela watekaji watafanya chochote kuilinda hela yao waipate .
Wanapokuja kugundua mtoto hayupo ndo hapo wanaanza msako wa kuua yoyote wanayemkuta msituni ilimradi wampate mtoto wao , kimbembe ni kwa wale wapanda milima kuweza kuokoa maisha yao huko milimani .

Ni bonge la muvi , trust me 
Enjoy 🙏
Kuipata hii na nyingine kibao Download Apa
Previous Post Next Post