LATEST MOVIES

1000 Tsh
1000 Tsh
1000 Tsh
1000 Tsh
1000 Tsh
Msimu wa Sikukuu 2025

Furahia Burudani ya Sikukuu na JoeBoy Studio

Pata movies na series za kuvutia, ofa maalum za msimu, mabango za tukio, na huduma za utengenezaji wa maudhui — yote hapa Tabora. Tunakuletea burudani kwa njia mpya.

Piga Sasa — +255 613 442 214 Tuma Barua
WhatsApp: +255 613 442 214

SHOOTING DOGS

Kama umeiona hotel rwanda bas nakuletea nyingine hii ambayo nayo ni true story , inazungumzia kipindi hicho hicho cha vita ya kikabila kati ya wahutu na watutsi nchini rwanda .

Kulikuwepo na shule ya kanisa ambayo ndani yake kulikua na kanisa pamoja na kambi ya jeshi la umoja wa mataifa , wakati wa operation ya wahutu kuchinja chinja watutsi ambao ni wachache kushinda wahutu nchini rwanda , mamia ya watutsi walikimbilia hapo shule .
Ni eneo salama kwa 7bu ya uwepo wa jeshi la umoja wa mataifa , hata wanamgambo wa wahutu walishindwa kuingia kwa kuheshimu jeshi la umoja wa mataifa .
Walibaki nje tu ya fensi wakisubiri jeshi liondoke na raia wa kizungu ili wao waende kuwaua watutsi waliopo hapo shule , hata wanajeshi wa umoja wa mataifa walishindwa kufanya kitu zaidi ya kulinda tu 7bu kisiasa inaweza kua jambo lingine kimataifa .

Kikawaida ktk majanga kama hayo mataifa ya kizungu yana tabia ya kuwaondoa raia wao tu ktk nchi za namna hiyo , kwa hiyo hata hapo pia yalitumwa magari kuwachukua raia wageni kuwaondosha hapo nchini .
Magari hayo yalisimamiwa na jeshi kuwachukua wazungu tu na kuwaacha waafrica , haijalishi hata kama mtoto mchanga hauchukuliwi maana inaweza kuleta shida .
Wapo wazungu walioumia kuondoka huku wakiwaacha waafrica waliowazoea , kusubiri kuchinjwa na waafrica wenzao .
Hawakua na budi maana wakisema wakae na wao watauliwa , hatimae walichukuliwa na hata jeshi nalo liliondoka likiwaacha watutsi wapambane na hali yao wenyewe .
Kuna padre mmoja wa kizungu ambaye ndo aliyekua akisalisha ktk kanisa la hapo , yeye alikataa kuondoka .
Aliona abaki tu na kama kufa atakufa nao hao waafrica , kwa kuwa jeshi lilishaondoka bas ikawa fungulia mbwa kwa wahutu .
Shida ni kwa hao waliobaki kutoka hapo salama 

Ni Moja kati ya muvi kali za africa 
Enjoy 🙏
  Kuipata movie hii na nyingine kibao za namna hii bonyeza hapa  Download movie hii
Previous Post Next Post